Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, June 16, 2014

FAMILY DAY YA ARUSHA TECHNICAL COLLEGE YAFANA

Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha,Dk Richard Massika(wa pili kulia)akiwa na wafanyakazi wenzake kwenye mazoezi ya viungo katika viwanja vya chuo hicho.
Mkuu wa Chuo cha Ufundi Arusha,Dk Richard Massika kulia)akiwa na wafanyakazi wenzake kwenye mazoezi ya viungo katika viwanja vya chuo hicho.

Watoto wa wafanyakazi nao walijuika kwenye mazoezi ya siku ya familia.
Mashindano ya kukimbia kwenye magunia yalivutia wengi walihudhuria siku ya Familia iliyopewa jina la “ATC Familia Moja”
Kukimbiza Kuku kwaajili ya kitoweo
Wafanyakazi na wanafamilia wanawake wakishangilia baada ya kukabidhiwa Kombe la ushindi
Wanafamilia wa Chuo cha Ufundi Arusha(ATC)wakifatilia michezo mbalimbali
Makamu Mkuu wa Chuo,Utawala na Fedha,Dk Erick Mgaya akishangilia baada ya timu yake(Idara ya Umeme)kutwaa ubingwa wa mpira wa miguu dhidi ya AutoMech.

No comments:

Post a Comment