Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Tuesday, March 10, 2015

KOCHA WA KIMATAIFA AMPIGA TAFU BONDIA IBRAHIM CLASS

Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' (kulia) akimkabidhi vifaa vya mchezo wa masumbwi bondia Ibrahimu Class 'King Class Mawe' baada ya kumdunda bondia Cosmas Cheka na kunyakuwa ubingwa wa U.B.O Africa Class kwa sasa anamiliki mikanda miwili ya Africa ukiwemo wa WPBF na U.B.O Africa.




Kocha wa Kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' (kushoto) akiangalia mkanda wa bingwa mpya wa U.B.O Africa Ibrahimu class 'King Class Mawe' aliopata hivi karibuni baada ya kumdunda bondia Cosmas Cheka

No comments:

Post a Comment