Mcheza
tenis namba moja duniani Novak Djokovic ilikuwa ni furaha pale
aliponyakua ubingwa wa BNP Paribas Open kwa mshinda mpinzani wake Roger
Federer kwa set 6-3 6-7 (5-7) 6- huko indian Wells nchini
Marekani.Djokovic mwenye miaka 27 alikuja juu na kutawala mchezo tangu
mwanzo ambapo baade Federer akajitutumia lakini akaishia kuchapwa na
mpinzani wake.Novak Djokovic
Kwa nini Iran iliamua kuishambulia Israel?
-
Kwa mujibu wa taarifa za maafisa wa kijeshi nchini Iran, shambulio hilo
lilikuwa la " kulipiza kisasi mashambulizi ya Israel dhidi ya vitongoji vya
Beirut."
GEITA GOLD YAPANDA LIGI KUU
-
Timu ya Geita Gold FC imerejea Ligi Kuu ya NBC baada ya leo kumfunga
Songea United mabao 3-1 wakiwa nyumbani Uwanja wa Nyamkumbu.
Kwa matokeo hayo Geita...
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen
Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka
jiwe la ms...
Post a Comment