Mcheza
tenis namba moja duniani Novak Djokovic ilikuwa ni furaha pale
aliponyakua ubingwa wa BNP Paribas Open kwa mshinda mpinzani wake Roger
Federer kwa set 6-3 6-7 (5-7) 6- huko indian Wells nchini
Marekani.Djokovic mwenye miaka 27 alikuja juu na kutawala mchezo tangu
mwanzo ambapo baade Federer akajitutumia lakini akaishia kuchapwa na
mpinzani wake.Novak Djokovic
RAIS SAMIA AMLAKI RAIS WA GHANA MAHAMA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt, Samia Suluhu Hassan
katika Matukio tofauti ya picha alipompokea Mgeni wake Rais wa Jamhuri ya
Ghana Mhe...
Post a Comment