Mcheza
tenis namba moja duniani Novak Djokovic ilikuwa ni furaha pale
aliponyakua ubingwa wa BNP Paribas Open kwa mshinda mpinzani wake Roger
Federer kwa set 6-3 6-7 (5-7) 6- huko indian Wells nchini
Marekani.Djokovic mwenye miaka 27 alikuja juu na kutawala mchezo tangu
mwanzo ambapo baade Federer akajitutumia lakini akaishia kuchapwa na
mpinzani wake.Novak Djokovic
JAB yahimizwa kuanza kutekeleza mpango wa mafunzo
-
Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB) imehimizwa kuanza kutekeleza
mpango wa mafunzo ya kitaaluma kwa waandishi wa habari bila kusubiri kuwa
n...
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen
Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka
jiwe la ms...
Post a Comment