Nyota wa zamani wa Chelsea na Liverpool Yossi Benayoun akutana na kichapo cha Wa-palestina huko Austria
![]() |
| Uvamizi: Wavamizi wa Kipastina wakionekana kuwavamia wachezaji wa Maccabi Haifa. |
Mtandao
wa klabu ya Maccabi
Haifa umechapisha taarifa iliyotolewa na nahodha wa klabu hiyo Yossi
Benayoun akiandika maoni ya vurugu zilijitokeza katika mchezo wao wa
maandalizi ya msimu mpya wa 2014/15 walipokuwa wakicheza dhidi ya Lille
ya Ufaransa huko Austria Jana na kupelekea mchezo huo kuvunjika baada ya
watu wanaodhaniwa kuwa ni Palestina walioko uhamishoni kuvamia uwanja
na kuanza kuwachapa.
Benayoun amesema
'Tukiwa kama klabu ya soka tunalaani vitendo vyote vilivyojitokeza ima kwa maneno hata kwa kushikana.
'Yesterday
(Jumatano) kuelekea dakika za mwisho za mchezo huo tulivamiwa na wahuni
uwanjani kwasababu sisi ni tunatoka Israelis. Tulikuwa hatuna la
kufanya isipokuwa ni kujilinda.'

Post a Comment