Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, November 13, 2013

NOVAK DJOKOVIC ATETEA TAJI LAKE LA DUNIA BAADA YA KUMTWANGA RAFAEL NADAL

Champion: Novak Djokovic lifts the ATP World Tour Finals title after a 6-3 6-4 win over Rafael Nadal
Mchezaji Tenesi nambari mbili kwa ubora wa mchezo huo duniani Novak Djokovic hatimaye amefanikiwa kutetea taji lake la dunia la mchezo huo baada ya kumfunga Rafael Nadal kwenye mchezo wa fainali.
All smiles: Djokovic addresses the crowd at the O2 Arena after his victory
Djokovic ambaye alipoteza nafasi yake ya kwanza kwa rafael Nadal mwezi mmoja uliopita, hapo jana alikuwa mwiba kwa mpinzani wake na kufanikiwa kumdhibiti kwa muda wote wa mchezo.
Djokovic ambaye ni raia wa Serbia, amefanikiwa kutetea taji lake kwa kumfunga Nadal kwa seti mbili mfululizo kwa matokeo ya 6-3 na 6-4 kwenye mchezo uliofanyika kwenye uwanja wa O2 jijini London.
Kufuatia ushindi huo Nadal amefanikiwa kuongeza historia kwenye kitabu chake cha kumbukumbu baada ya hapo jana kufikisha mechi ya ishirini na mbili mfululizo bila kupoteza akimaliza msimu wake wa mwaka 2013 kwa mafanikio katika miaka mitatu mfululizo.
Djokovic hivi sasa ameelekea mjini Belgrade, Jamhuri ya Czech ambapo siku ya Ijumaa atashiriki fainali za michuano ya Davis.
Akizungumza mara baada ya mchezo huo, Djokovic anasema amefurahishwa na kiwango alichonacho kwasasa na pia kumpongeza mpinzani wake kwa kuonesha mchezo mzuri.
Sealed with a kiss: Djokovic shows his latest trophy some affection
Djokovic akibusu kombe lake baada ya kumshinda mpizani wake Nadal
Pure passion: Djokovic shouts with delight after seeing off Nadal
Djokovic akipiga kelele baada ya kumshinda adui yake Nadal
Novak Djokovic
Djokovic hivi sasa ameelekea mjini Belgrade, Jamhuri ya Czech ambapo siku ya Ijumaa atashiriki fainali za michuano ya Davis.
In control: Djokovic executes a perfect forehand during the first set
Djokovickwenye patashika na Nadal
Powerhouse: Nadal puts his full weight behind a forehand return
Nadal kijibu mapigo kwa Djokovic
Foused: Djokovic keeps his eye on the ball as he hits a double-handed backhand
Djokovic akiwa makini wakati anacheza fainali yake na Rafael Nadal
Mutual respect: Djokovic and Nadal greet each other before the start of their match
 Djokovic na Nadalwakipongezana baada ya mchezo
Fist pump: Nadal celebrates quietly after winning a hard-fought point in the first set
Nadal  akishangilia nae baada ya kumkamata na kumtoa kijasho Novak Djokovic wakati wanacheza
alipoweza kumshinda kwa seti moja wapo kabla ya mchezo kuisha.
Interested spectators: Arsenal midfielder Jack Wilshere (left) and One Direction's Niall Horan (right) watch the action at the O2 Arena
Mchezaji wa Arsenal Jack Wilshere (kushoto) na Niall Horan (kulia) wakiwaangalia kwenye O2 Arena
wakati Novak na Nadal wakichuana vikali kwenye fainali
Fan for the night: Popstar Eliza Doolittle (right) poses during the final
One love!!! Popstar Eliza Doolittle (kulia) nae alikuwepo kwenye fainali hizo
Star attraction: Popstar Mollie King of The Saturdays takes her seat to watch Djokovic and Nadal battle it out
Popstar Mollie nae alikuwepo kwenye fainali kati ya Djokovic na Nadal 
Spanish support: Arsenal midfielder Mikel Arteta gets behind his compatriot Nadal
Mchezaji wa Arsenal Mikel Arteta nae alikuwepo kumcheki  Nadal
Pinpoint accuracy: Nadal guides a perfectly-placed forehand down the line
Nadal akitupia!
Frustrated figure: Djokovic shouts after making an unforced error
Djokovic hapa alioneka kuwa nje baada ya kukosea!!!

No comments:

Post a Comment