CHELSEA YAILAZA MAN UNITED 1-0, CHELSEA YAPANDA NAFASI YA TATU
Ligi kuu England iliyoendela jana jumapili kati ya United na Chelsea Bao la Dakika ya 87 la Juan Mata
likiguswa na Beki Manchester United Phil Jones na kumbabaisha Kipa Anders
Lindergaard na kutinga wavuni na kuipa Chelsea ushindi wa Bao 1-0 Uwanjani Old
Trafford hii leo katika Mechi ya BPL, Barclays Premier League, na kuwafanya
wachupe hadi nafasi ya 3.
Hata hivyo, mara baada
ya Chelsea kufungua Bao hilo Man United walimlalamikia Refa Howard Webb kwani
muvu ya Bao hilo ilianza wakati Man United wanashambulia na Wayne Rooney
kuchezewa rafu na Ramirez na kuupoteza Mpira uliokwenda kuzaa Goli.
Sasa Chelsea, waliocheza Mechi moja pungufu ukilinganisha na Arsenal, wako Pointi 1 mbele ya Arsenal walio nafasi ya 4 na Pointi 3 mbele ya Tottenham.

Mara baada ya Goli hilo, Mchezaji wa Man United Rafael alionyeshwa Kadi Nyekundu baada ya kuvaana na David Luiz kitendo ambacho kilizaa rabsha kidogo huku Wachezaji wa Man United wakilalamika Luiz alikuwa amehadaa ili Rafael apewe Kadi Nyekundu.
Robin van Persie akijaribu kumtoka David Luiz huku Phil
Jones naye akinyemelea karibu
Robin Van Persie kigo awafunge Chelsea kwa kichwa
Bosi wa Manchester Unite Sir Alex Ferguson akicheki
mtanange
Kocha wa Muda wa Chelsea Rafa Benitez naye jicho kwa jicho
akiangalia vijana wake jioni hii kwenye uwanja wa Old Trafford.
Veteran wa United Giggs akiruka juu kutwaa mpira dhidi ya
Cesar Azpilicueta wa Chelsea.
Mchezaji Rafael Da Silva akitolewa nje kwa kadi nyekundu na
refa Howard Webb baada ya kucheza ndivyo sivyo kwa David Luis
Wanajuana hawa...
Veteran Ryan Giggs kwenye patashika na frank Lampard
Rooney akiingia kuchukua nafasi ya Anderson
Beki Phil Jones akimchanganya kipa kwa kugusa mpira bahati
mbaya na mpira huo kuishilia nyavuni katika dakika za mwishoni.
Juan Mata akishangilia mara tu baada ya kuipatia Blues bao
la dakaka za majeruhi dakika ya 87 na kufanya 1-0 dhidi ya United ambao ndiyo
mabingwa wa msimu huu wa 2012/2013
Rooney, RVP, veteran Giggs Hoiiii....VIKOSI:
Man Utd: Lindegaard, Da Silva, Evans, Vidic, Evra, Jones, Anderson (Rooney 69), Cleverley (Buttner 68), Valencia (Hernandez 90), Van Persie, Giggs.
Subs Not Used: De Gea, Ferdinand, Scholes, Kagawa.
Sent Off: Da Silva (89).
Booked: Vidic, Jones.
Chelsea: Cech, Azpilicueta, Ivanovic, Luiz, Cole, Ramires, Lampard, Oscar, Mata (Ake 90), Moses (Torres 76), Ba.
Subs Not Used: Turnbull, Ferreira, Cahill, Terry, Benayoun.
Booked: Luiz.
Goals: Jones og 87.
Att: 75,500
Ref: Howard Webb
Sasa Chelsea, waliocheza Mechi moja pungufu ukilinganisha na Arsenal, wako Pointi 1 mbele ya Arsenal walio nafasi ya 4 na Pointi 3 mbele ya Tottenham.
Mara baada ya Goli hilo, Mchezaji wa Man United Rafael alionyeshwa Kadi Nyekundu baada ya kuvaana na David Luiz kitendo ambacho kilizaa rabsha kidogo huku Wachezaji wa Man United wakilalamika Luiz alikuwa amehadaa ili Rafael apewe Kadi Nyekundu.
Man Utd: Lindegaard, Da Silva, Evans, Vidic, Evra, Jones, Anderson (Rooney 69), Cleverley (Buttner 68), Valencia (Hernandez 90), Van Persie, Giggs.
Subs Not Used: De Gea, Ferdinand, Scholes, Kagawa.
Sent Off: Da Silva (89).
Booked: Vidic, Jones.
Chelsea: Cech, Azpilicueta, Ivanovic, Luiz, Cole, Ramires, Lampard, Oscar, Mata (Ake 90), Moses (Torres 76), Ba.
Subs Not Used: Turnbull, Ferreira, Cahill, Terry, Benayoun.
Booked: Luiz.
Goals: Jones og 87.
Att: 75,500
Ref: Howard Webb
Post a Comment