REAL MADRID YATUPWA NJE UEFA CHAMPIONS LEAGUE LICHA YA KUIFUNGA BORUSSIA DORTMUND 2-0 LEO

Timu ya Real Madrid ya Hispania leo imeondoshwa kwenye mashindano ya UEFA licha ya kuifunga Borussia Dortmund mabao 2-0.
Mchezo huo ambao uliochezwa NDANI YA SANTIAGO BERNABEU, Nyumbani kwa Real Madrid, huku mabao ya Ral Madrid yakifungwa na Benzema 82', Ramos 88'Borussian Dortmund wamefuzu kwa mabao 4-3 kwani kwenye mchezo wa awali wiki moja iliyopita walishinda mabao 4-1.
![]() |

Ronaldo akijaribu kumpita mchezaji wa Borussia Dortmund
![]() |
![]() |



Post a Comment