KLABU ya Bayern Munich ya Ujerumani imetoa taarifa kupinga kwamba wamefikia makubaliano ya uhamisho na mshambuliaji wa Borussia DortmundRobert Lewandowski. Wakala wa mshambuliaji wa kimataifa wa Poland, Maik Barthel jana alidai kuwa mteja wake huyo anataka kuondoka Dortmund katika kipindi cha majira kiangazi na kuongeza kuwa wameshafikia makubaliano binafsi na klabu nyingine na kuzua uvumi kwamba atahamia Bayern. Hata hivyo Bayern wamebainisha kuwa hakuna ukweli wowote kuhusiana na taarifa kwamba tayari wamemsajili Lewandowski.Lewandowski mwenye umri wa miaka 24 ana mkataba na Dortmund unaomalizika mwaka 2014 lakini ameshatoa msimamo wake kuwa hana mpango wa kuongeza mkataba mwingine na klabu hiyo.
SIMBA SC YATINGA RAUNDI YA TATU KOMBE LA CRDB
-
VIGOGO, Simba SC wamefanikiwa kwenda Raundi ya Tatu ya Kombe la Shirikisho
la Soka Tanzania (TFF), michuano inayodhaminiwa na Benki ya CRDB baada ya
ushind...
GSM KUJENGA UWANJA WA KISASA WA YANGA
-
Timu ya Young Africans SC (Yanga) imemteua Mhandisi Ghalib Said Mohamed,
Mwenyekiti wa GSM Group, kuwa mwekezaji na mkandarasi mkuu wa ujenzi wa
uwanja...
Deciphering the Secrets of Tanzanian Wildlife
-
*Summary:* Go beyond the checklist. This blog post breaks down the unique
evolutionary traits found *only* in Tanzania's ecosystem.
We explore...
Post a Comment