Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Thursday, March 14, 2013

ARSENAL YAPAMBANA KIUME LAKINI BAO LA UGENINI LAIBEBA BUYERN MUNICH

Arsenal jana kwenye marudiano ya UCL, UEFA CHAMPIONS LEAGUE wakicheza kwa makini sana na huku wakiwa wamesisitizwa na kocha wao mzee Arsene Wenger, Wameweza kucheza vizuri na kujipatia bao la mapema la mchezaji Olivier Giroud dakika ya tatu (3) na kuweza kuongeza ushirikiano kwa pamoja na kupunguza magoli ya mwanzo ya 3-1 waliochapwa na Bayern Munich wakiwa kwao.
Licha ya kukosekana kwa Kipa Wojciech Szczesny, Jack Wilshere na Bacary Sagna mpaka kipindi cha kwanza kinaisha Arsenal walikuwa wanaongoza kwa bao 1-0 dhidi ya wapinzani wao Bayern Munich ambao walikuwa nyumbani.Olivier Giroud akifunga goli dakika ya tatu
Olivier Giroud akishangilia baada ya kuipatia timu yake Arsenal goli la mapema
Fracas: Goalkeeper Manuel Neuer tries to hold onto the ball to buy some time for Bayern
Mlinda mlango wa Bayern Munich Manuel Neuer akijaribu kuushikilia mpira kwa lengo la kupoteza muda baada ya kufungwa bao la pili.
Arsenal imeshindwa kusonga mbele katika hatua ya robo fainali ya michuano ya ligi ya mabingwa Ulaya licha ya kupata ushindi wa ugenini mabao 2-0 dhidi ya kigogo cha nchini Ujerumani Bayern Munich katika mchezo uliopigwa katika dimba la Allianz Arena nchini Ujerumani.

Olivier Giroud ndiye aliyekuwa kuwapa faraja mashabiki wa Arsenal kunako dakika ya tatu ya mchezo.

Laurent Koscielny akaandika bao la pili katika dakika za mwisho mwisho za mchezo wa mchezo hata hivyo safari ya washika mitutu hao ikaishia hapo kufuatia faida ya bao la ugenini walilopata Bavarians katika mchezo wa kwanza uliopigwa katika dimba la Emirate.

Close: Laurent Koscielny scored late in the match to set up a tense finish
Laurent Koscielny akifunga bao la pili.
Game on: Olivier Giroud scored early in the match to put pressure on the German hosts
Olivier Giroud akifunga bao la mapema kunako dakika ya tatu
Olivier Giroud
Aaron Ramsey
Booked: Thomas Rosicky looks dejected after a heavy tackle on Arjen Robben
Thomas Rosicky akipigwa kadi ya njano baada ya kumfanyia madhambi Arjen Robben
Sliding in: Javi Martinez (right) tries to nick the ball away from Mikel Arteta
Javi Martinez (kulia) akiudonyoa mpira kuharibu mipango ya Mikel Arteta.
Frustrated: Mario Mandzukic shows his disappointment at a refereeing decision
Mario Mandzukic akionekana kushangaa maamuzi ya mwamuzi.
Remonstrating: Arsene Wenge rages at the fourth official
Bosi wa Arsenal Arsene Wenge akilalamika kwa mwamuzi wa pembeni juu ya maamuzi ya mwamuzi wa kati.
Seething: Wenger screams from the touchline after another decision
Wenger akipiga kelele kupinga maamuzi ya mwamuzi wa kati.
Digging deep: Luis Gustavo (right) tries to dispossess Santi Cazorla in the middle of the park
Luis Gustavo (kilia) akipambana na Santi Cazorla katika ya uwanja.Big shout: Thomas Muller screams at the referee's assistant during the first half of the tie

Thomas Muller naye akimlalamikia mwamuzi wa pembeni kipindi cha kwanza.
Rough and tumble: Arjen Robben is sent flying as Kieran Gibbs slides in
Arjen Robben akichotwa na Kieran Gibbs.
Anxious? Jupp Heynckes
Bastian Schweinsteiger

Face in the crowd: Former Bayern midfielder Owen Hargreaves was in the audience at the Allianz

Kiungo wa zamani wa Bayern Owen Hargreaves alikuwa ni mmoja wa watazamaji katika dimba la Allianz Arena

No comments:

Post a Comment