WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,
Harrison Mwakyembe ameyataka makampuni na taasisi mbalimbali nchini kujitosa
kudhamini michezo.
Waziri Mwakyembe aliyasema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati wa
kuiaga timu ya Azania inayokwenda kushiriki fainali za Kombe la Standard
chartered zitakazofanyika wiki ijayo kwenye Uwanja wa Anfield, England chini ya
udhamini wa benki ya Standard Chartered.
Alisema kujitokeza kudhamini kutasaidiakuhamasisha na kuinua michezo nchini.
Aidha, aliitaka timu hiyo kucheza kwa jitihada zote na kuhakiisha
inarejea na Kombe na anaamini kwa ubora iliyonayo, watarudi na ubingwa.
“Ni wakati wenu wa kwenda kuionesha dunia nzima kama mnaweza na mafanikio
yenu yatawatia moyo na vijana wengine," alisema.
Timu hiyo ambayo ni mabingwa wa Afrika Mashariki, ikiwa Uingereza
inatarajia kupambana na timu kutoka Botswana, Nigeria, HongKong, Korea, India
na wenyeji Uingereza.
Awali, Mjumbe wa bodi ya benki ya Standard Chartered Balozi Ammi Mpungwe
alisema ni mara ya kwanza kwa timu ya Tanzania kushiriki mashindano hayo na
anaimani na timu hiyo itatumia vyema fursa hiyo kuhakikisha wanarudi na
ushindi.
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
TAKUKURU Kubaini Mamluki Michezo Mei Mosi 2020
-
*Wajumbe wa Kamati ya Michezo ya mashindano ya Mei Mosi wakiwa kwenye kikao
cha Kwanza cha maandalizi ya michezo hiyo kilichofanyika mwishoni mwa wiki
k...
Gabon : Daniel Cousin a (enfin) signé son contrat
-
Sortie de crise à Libreville. Le sélectionneur du Gabon, Daniel Cousin, a
enfin signé le contrat qui le lie à l'équipe nationale de football. Les
termes de...
Itazame Simulizi mpya iliyopewa jina la ‘Kinyago’
-
Kwa nafasi ya upendeleo New Talents tunachukua fursa hii kukupa nafasi ya
kwanza kuitazama hii video ya Simulizi mpya iliyo beba ujumbe mkubwa
unaotakiwa ...
Giroud ajiunga na Chelsea
-
Chelsea imekamilisha usajili wa Oliver Giroud kutoka Arsenal kwa ada ya
paundi milioni 18. Washika mitutu wamekubali kumuuza Giroud kwa wapinzani
wao wa ...
Post a Comment