WAZIRI wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo,
Harrison Mwakyembe jana alipokea kiasi cha sh milioni 12 kwa ajili ya timu ya
taifa ya vijana ya wachezaji wenye umri chini ya miaka 17, Serengeti Boys.
Serengeti Boys iko nchini Gabon, ambako inashiriki mashindano ya 12 ya
Mataifa ya Afrika, Afcon 2017, ambapo juzi ilianza kwa suluhu dhidi ya mabingwa
watetezi Mali.
Fedha hizo ni sh milioni 10 kutoka kwa DStv na mil. 1 ya Taasisi ya
Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru),ambazo zilikabidhiwana
Mkurugenzi wa Maelezo, Hassan Abbas.
Pia Misa Tanzania nao walikabidhi sh milioni 1 ambayo ilitolewa na
mwenyekiti wake Salome Kitomari.
Waziri Mwakyembe aliwashukuru wote waliotoa michango hiyo na kuwataka
wadau kuendelea kuichangia timu hiyo, ambayo inawakilisha nchi katika
mashindano hayo ya Afcon 2017.
Aidha, Mwakyembe alisema kuwa wote walioichangia timu hiyo atawatangaza
katika magazeti ya Serikali ya Daily News na HabariLeo kama alivyoahidi awali
kuwa kila anayechangia atatangazwa.
Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025
-
Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha
kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini
ke...
TAKUKURU Kubaini Mamluki Michezo Mei Mosi 2020
-
*Wajumbe wa Kamati ya Michezo ya mashindano ya Mei Mosi wakiwa kwenye kikao
cha Kwanza cha maandalizi ya michezo hiyo kilichofanyika mwishoni mwa wiki
k...
Gabon : Daniel Cousin a (enfin) signé son contrat
-
Sortie de crise à Libreville. Le sélectionneur du Gabon, Daniel Cousin, a
enfin signé le contrat qui le lie à l'équipe nationale de football. Les
termes de...
Itazame Simulizi mpya iliyopewa jina la ‘Kinyago’
-
Kwa nafasi ya upendeleo New Talents tunachukua fursa hii kukupa nafasi ya
kwanza kuitazama hii video ya Simulizi mpya iliyo beba ujumbe mkubwa
unaotakiwa ...
Giroud ajiunga na Chelsea
-
Chelsea imekamilisha usajili wa Oliver Giroud kutoka Arsenal kwa ada ya
paundi milioni 18. Washika mitutu wamekubali kumuuza Giroud kwa wapinzani
wao wa ...
Post a Comment