LEO
Jumanne Arsenal wako huko France kurudiana na AS Monaco ambayo
iliwababua Bao 3-1 huko Emirates na Siku hiyo hiyo Atletico Madrid,
ambao Msimu uliopita walichapwa 4-1 na Real Madrid kwenye Fainali ya
Mashindano haya, wapo kwao Vicente Calderon Jijini kurudiana na Bayer
Leverkusen iliyoshinda 1-0 katika Mechi ya kwanza huko Germany.
Jumatano Barcelona wanaikaribisha Man City huko Nou Camp huku Barca wakiwa mbele kwao 2-1 walizopata huko Etihad.
Nao Borussia Dortmund wako kwao Signal Iduna Park Jijini Dortmund kujaribu kuwatoa Mabingwa Italy Juventus walioshinda 2-1 katika Mechi ya kwanza.
Theo Walcott na Alexis Sanchez kwenye mazoezi
Danny Welbeck
Giroud na Hector
UEFA CHAMPIONS LEAGUE
RATIBA
Marudiano - Raundi ya Mtoano ya Timu 16
Mechi zote kuanza Saa 4 Dak 45 Usiku
Jumanne Machi 17
AS Monaco v Arsenal [3-1]
Atlético Madrid V Bayer Leverkusen [0-1]
Jumatano Machi 18
FC Barcelona v Man City [2-1]
Borussia Dortmund v Juventus [1-2]
Jumatano Barcelona wanaikaribisha Man City huko Nou Camp huku Barca wakiwa mbele kwao 2-1 walizopata huko Etihad.
Nao Borussia Dortmund wako kwao Signal Iduna Park Jijini Dortmund kujaribu kuwatoa Mabingwa Italy Juventus walioshinda 2-1 katika Mechi ya kwanza.
Theo Walcott na Alexis Sanchez kwenye mazoezi
Danny Welbeck
Giroud na Hector
UEFA CHAMPIONS LEAGUE
RATIBA
Marudiano - Raundi ya Mtoano ya Timu 16
Mechi zote kuanza Saa 4 Dak 45 Usiku
Jumanne Machi 17
AS Monaco v Arsenal [3-1]
Atlético Madrid V Bayer Leverkusen [0-1]
Jumatano Machi 18
FC Barcelona v Man City [2-1]
Borussia Dortmund v Juventus [1-2]
No comments:
Post a Comment