Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, October 2, 2013

BONDIA IDD MNYEKE AMSAMBARATISHA KEIS AMAL

Refarii wa mchezo wa masumbwi nchini Saidi Chaku akimwinua mkono juu bondia Idd Mnyeke kuwa mshindi baada ya kumsambalatisha, Keis Amal wengine kushoto ni Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wengine kulia ni kocha Cristopher Mzazi na Ramadhani Shauri
Bondia Idd MNyeke kushoto akipambana na Keis Amal wakati wa mpambano wao wa masumbwi mnyeke alishinda kwa point
Bondia Idd MNyeke kushoto akipambana na Keis Amal wakati wa mpambano wao wa masumbwi mnyeke alishinda kwa point
Bondia Keis Amal kushoto akipambana na Idd Mnyeke wakati wa mpambano wao Mnyeke alishinda kwa point
MWAMUZI wa mchezo wa masumbwi nchini Saidi Chaku  kutangazwa kwa matokeo ya  Idd Mnyeke kuwa mshindi baada ya kumsambaratisha, Keis Amal wengine kushoto ni Kocha wa kimataifa wa mchezo wa masumbwi nchini Rajabu Mhamila 'Super D' wengine kulia ni kocha Cristopher Mzazi na Ramadhani Shauli

No comments:

Post a Comment