BONDIA RAMADHAN SHAURI KUPAMBANA NA COSMAS CHEKA
| Promota wa Mpambano wa Ubingwa wa UBO Kaike Siraju katikati akiwanyoosha mikono juu mabondia Ramadhani Shauri kushoto na Cosmasi Cheka watakaopigana tarehe 27 jijini Dar es salaam. |
| Bondia Ramadhani Shauri akizungumza na waandishi wa habari kushoto ni kocha wake Christopher Mzazi na Promota Kaike Siraju |
| Bondia Ramadhani Shauri akizungumza na waandishi wa habari |
| Bondia Cosmas Cheka akiongea na waanishi wa habari |
Post a Comment