MSHAMBULIAJI wa kimataifa wa
Cameroon na klabu ya Anzhi Makhachkala ya Urusi Samuel Eto’o ameteuliwa kuwa
mchezaji bora wa msimu wa Ligi Kuu ya nchi hiyo kwa msimu wa 2012-2013.
Eto’o
ambaye amewahi kunyakuwa tuzo ya mchezaji bora Afrika mara nne, alikabidhiwa
tuzo hiyo baada ya kuisadia timu yake kumaliza katika nafasi ya tatu kwenye
msimamo wa ligi wan chi hiyo.
Akihojiwa mara baada ya kukabidhiwa tuzo hiyo
Eto’o ambaye pia ni nahodha wa timu hiyo amedai kufurahishwa na hatua hiyo na
kuwashukuru mashabiki wa soka nchini humo pamoja na waandishi wa habari kwa kuwa
nyuma yake wakati wote.
Nyota huyo mwenye umri wa miaka 32 atakosa mchezo wa
kufuzu michuano ya Kombe la Dunia 2014 wa timu ya taifa ya nchi yake dhidi ya
Togo utakaochezwa Juni 9 mwaka huu kutokana na majeraha yanayomsumbua.
MAXI AIPELEKA YANGA SC FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI
-
TIMU ya Yanga SC imefanikiwa kwenda Fainali ya Kombe la Mapinduzi baada ya
ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Singida Black Stars usiku huu Uwanja wa New
Amaan ...
SAMIA AONYA WANAOCHOKOREWA MASIKIO KUVUNJA AMANI
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan,
ametoa onyo kali kwa watu wanaojaribu kushawishi uvunjifu wa amani nchini,
aki...
Good morning from the heart of the Serengeti!
-
There is nothing quite like waking up to the gentle rumble of a giant.
As the sun rises over the plains, our friends are already on the move,
rem...
Post a Comment