CHAMA cha Makocha wa Ligi
Kuu nchini Uingereza kimemteua Aliyekuwa meneja wa klabu ya Manchester United,
Sir Alex Ferguson kuwa meneja bora wa mwaka wa ligi hiyo. Ferguson ambaye
amestaafu mwishoni mwa msimu huu baada ya kuifundisha United kwa kipindi
chamiaka 26 anakuwa kocha wa kwanza kushinda tuzo hiyo mara nyingi zaidi ambayo
hupigiwa kura na makocha wenzake. Akipokea tuzo yake kutoka kwa meneja wa West
Ham United Sam Allardyce katika sherehe hizo jana usiku, Ferguson alitania kuwa
mmiliki wa West Ham Steve Clarke anatakiwa naye apewe tuzo kwa timu yake
kuifunga United mabao matano katika mchezo baina ya timu hizo uliochezwa
Jumapili. Ferguson amesema sare ya mabao 5-5 waliyopata dhidi ya West ham kila
atakuwa akiikumbuka kwa kipindi kirefu kijacho na kwa upande mwingine anashukuru
amemaliza kazi hiyo ya ukocha kwasababu ni moja ya shughuli ngumu kabisa
duniani.
NMB YAPELEKA ELIMU YA FEDHA KWA MAELFU YA VIJANA
-
Benki ya NMB imesisitiza umuhimu wa kupeleka elimu ya fedha kwa umma
sambamba na kupanua huduma rasmi za kifedha, ikisema ujumuishaji wa kifedha
unahita...
Leadership and Teamwork, Defined by the Serengeti
-
If you want a masterclass in leadership, style, and pure majesty, you don't
look to a boardroom you look to the plains of the Serengeti.
Watching an e...
Uchumi : Rais Samia Aipa BOT Dira Mpya
-
Na Janeth Raphael MichuziTv
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameielekeza
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuongeza uwezo wa kuc...
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen
Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka
jiwe la ms...
Post a Comment