Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, April 21, 2013

YANGA KIBARUANI LEO TAIFA, JE JKT RUVU WAENDELEA KUIBANA KATIKAMBIO ZA KUTANGAZA UBINGWA?


Yanga ambayo inafukuzia taji la Ligi Kuu ya Tanzania Baraleo  itashuka dimbani kupambana na JKT Ruvu ya mkoani Pwani kwenye mchezo utakaochezwa uwanja wa Taifa.

Yanga ambao ni wenyeji katika mchezo huo watahitaji kupata pointi zote tatu ili kuweka matumaini makubwa ya kuchukua Ubingwa wa bara.

Pia JKT Ruvu nao watahitaji kupata matokeo mazuri  ili kujinasua kwenye mstari wa kushuka daraja kwani hawako katika nafasi nzuri.

Timu ya Yanga imejipanga vema kufanya kweli kwani wakifanikiwa kupata pointi zote kutawafanya wahitaji sare moja tu ili kutangaza ubingwa.

No comments:

Post a Comment