Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, April 15, 2013

BARCELONA YAIFUNGA REAL ZARAGOZA BAO 3-0 NA REAL MADRID YAINFUNGA ATHLETIC BILBAO 3-0


Mchezaji wa Barcelona Cristian Tello akishangilia baada ya kuiua Real Zaragoza. Picha na: Albert Gea/Reuters

Tello akishangilia baada ya kufunga bao na kumfanya kocha Tito Vilanova kuona kuwa Mayoso nao wanaweza hivyo kuwapa namba ni muhimu.
Mchezaji Tello (katikati) akifunga bao la tatu

Athletic Bilbao 0 vs Real Madrid 3: Ronaldo akifunga bao la 49 na 50.

Thundering: Cristiano Ronaldo scores his side's second goal with a powerful header
Cristiano Ronaldo akifunga bao safi la kichwa
Flying high: Ronaldo celebrates with Marcelo (left) during tonight's victory
Ronaldo akishangilia bao lake na kushoto ni Marcelo jana usiku
Cristiano Ronaldo alifunga Bao 2 na kumtengenezea Gonzalo Higuain Bao 1 wakati Real Madrid walipocheza huko San Mames na kuichapa Athletic Bilboa Bao 3-0 wakati Vinara wa La Liga, Barcelona, wakicheza ugenini na Real Zaragoza na kuifunga Bao 3-0 bila ya Staa wao Lionel Messi kucheza.
Bao hizo mbili za Ronaldo zimemfanya afikishe Bao 31 Msimu huu kwenye La Liga na kuifanya Real ifikishe Pointi 68 wakiwa Pointi 13 nyuma ya Vinara Barcelona.

Anaeongoza kwa ufungaji bora la La Liga ni Lionel Messi mwenye Bao 43.
Katika mechi ya Real Zaragoza na Barcelona, Thiago Alcantara ndie aliefunga Bao la kwanza na nyingine mbili kufungwa na Cristian Tello.
Barcelona ilicheza bila Nyota wake Lionel Messi ambae anauguza maumivu ya Musuli za Paja.



RATIBA/MATOKEO:
LA LIGA

Ijumaa Aprili 12
Betis 3 Sevilla 3
Jumamosi Aprili 13
Valladolid 2 v Getafe 1
Levante 0 v Deportivo 4
Espanyol 3 v Valencia 3
Malaga 1v Osasuna 0
Jumapili Aprili 14

Rayo Vallecano 0 v Real Sociedad 2
Atletico Madrid 5 v Granada 0
Zaragoza 0 v Barcelona 3
Athletic Bilbao 0 v Real Madrid 3
Leo Jumatatu Aprili 15

[SAA 19:00]
Mallorca - Celta Vigo

No comments:

Post a Comment