ASTON VILLA YAIFUNGA SUNDERLAND 6-1 JANA USIKU BENTEKE APIGA HAT TRICK
Aston Villa wakiwa kwao
kucheza Sunderland mchezaji wao Ron Vlaar amewapachikia bao la kwanza katika
dakika 31 dhidi ya Sunderland lakini ndani ya dakika chache kama 2 bao
likarudishwa na mchezaji Danny Rose dakika ya 32 na kufanya 1-1 dhidi ya wenyeji
Aston Villa walio nafasi ya 17
wakiwa na alama 34 wakiwa
wanaangalia mstari wa kushuka daraja na wanaoongozwa na Kocha Paul Lambert.
Dakika ya 38 Andreas Weimann akawafungia bao jingine la 2 dhidi ya Aston Villa
kwa kupewa pasi safi na mwenzake na hatimaye kugeuka haraka na kuachia shuti
kali ambalo limempita pembeni kipa wa Sunderland na kuishilia nyavuni. Benteke
akafunga bao jingine dakika 73 na Agbonlahor akamalizia bao la mwisho la 6
dakika ya 88.
Ushindi huu unamfanya Aston Villa apande mpaka nafasi
ya 16 chini ya Sunderland wenye alama hizo hizo
37 na Newcastle akishikilia nafasi ya 17.
Kocha wa Sunderland Paolo Di Canio akisalimiana na kocha
Paul Lambert kabla ya mtanange kuanza
Di Canio akiangalia kama vijana wake watampatia ushindi wa mfululizo tena leo hii wakicheza na Aston Villa ambao wapo chini nafasi ya 17 na wenye alama 34 chini ya Sunderland wenye alama 37 na nafasi ya 15 kwenye msimamo wao wa ligi kuu England

Ron Vlaar akiiwasha bao Sunderland

Danny Rose akisawazisha bao dakika ya 32 na kufanya 1-1


Andreas Weimann akifunga bao la pili.

Weimann akishangilia
Benteke akifanya kutupia kwa kichwa kipindi cha pili
Chezea Benteke wewe!!!
Paul Lambert

Stephane Sessegnonakipewa kadi nyekundu

Paolo Di Canio akikata tamaa baada ya kushindiliwa mabao mengi leo, na yeye leo kaliwa!!

Ron Vlaar

Andreas Wiemann akiwapa bao Villa na kuwa 2-1

Tushangilie kwa ushindi tumetoka chini, kidogo tuporomokeeeeeeeeeeeeeee.....
Di Canio akiangalia kama vijana wake watampatia ushindi wa mfululizo tena leo hii wakicheza na Aston Villa ambao wapo chini nafasi ya 17 na wenye alama 34 chini ya Sunderland wenye alama 37 na nafasi ya 15 kwenye msimamo wao wa ligi kuu England
Ron Vlaar akiiwasha bao Sunderland
Danny Rose akisawazisha bao dakika ya 32 na kufanya 1-1
Andreas Weimann akifunga bao la pili.
Weimann akishangilia
Benteke akifanya kutupia kwa kichwa kipindi cha pili
Stephane Sessegnonakipewa kadi nyekundu
Paolo Di Canio akikata tamaa baada ya kushindiliwa mabao mengi leo, na yeye leo kaliwa!!
Ron Vlaar
Andreas Wiemann akiwapa bao Villa na kuwa 2-1
Tushangilie kwa ushindi tumetoka chini, kidogo tuporomokeeeeeeeeeeeeeee.....
VIKOSI:
Aston Villa: Guzan, Lowton, Vlaar, Baker,
Bennett, Westwood, Delph, Sylla, Weimann, Agbonlahor, Benteke (Bent
78).
Subs: Given, Holman, Lichaj, Bowery, N’Zogbia, Bannan.
Goals: Vlaar 31, Weimann 38, Benteke 55, 60, 73, Agbonlahor 88.
Sunderland: Mignolet, O’Shea, Cuellar, Rose, Bardsley, N’Diaye, Larsson (McClean 61), Gardner (Vaughan 87), Sessegnon, Johnson, Graham.
Subs: Westwood, Kilgallon, Colback, Mangane, Mandron.
Goal: Rose 33.
Booked: Cuellar, Rose.
Sent off: Sessegnon 70.
Ref: Probert.
Subs: Given, Holman, Lichaj, Bowery, N’Zogbia, Bannan.
Goals: Vlaar 31, Weimann 38, Benteke 55, 60, 73, Agbonlahor 88.
Sunderland: Mignolet, O’Shea, Cuellar, Rose, Bardsley, N’Diaye, Larsson (McClean 61), Gardner (Vaughan 87), Sessegnon, Johnson, Graham.
Subs: Westwood, Kilgallon, Colback, Mangane, Mandron.
Goal: Rose 33.
Booked: Cuellar, Rose.
Sent off: Sessegnon 70.
Ref: Probert.
Post a Comment