Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, March 3, 2013

MANCHESTER UNITED YAIUA NORWICH CITY 4-0


Hapa Fergie akisalimiana na kibonzo cha Man Utd kabla ya mechi dhidi ya Norwich City kuanza, ambapo United ilishinda mabao 4-0.


Wayne Rooney akifumua shuti langoni kwa Norwich City wakati wa mechi ya Ligi Kuu


Mfungaji wa mabao matatu 'hat-trick' Shinji Kagawa akiwajibika dimbani katika mtanange huo.


Kagawa akishangilia moja ya mabao yake


Mlinda mlango wa Norwich, Bunn kulia akishindwa kuzuia mpira uliopigwa na Kagawa kushoto.


Wayne Rooney akimtoka beki wa Norwich City.


Hakuna kuremba, hapa kazi tu kudadadeki


Rooney akimtambuka mlinda mlango wa Norwich City


Rooney akitafuta mbinu za kuwatoka mabeki wa Norwich City.


Robin van Persie, akiwa chini huku mlinda mlango wa Norwich City akiugulia maumivu baada ya kugongana.

No comments:

Post a Comment