Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, March 18, 2013

AC MILAN YAIFUNGA PALERMO 2-0, BALOTELI ATUPIA BAO ZOTE YASHIKA NAFASI YA TATU



Balotelli akifunga bao la kwanza dhidi ya Palermo

Mabao ya Mario Balotelli ambaye amekuwa akiifungia AC Milan karibu kila Mechi tangu ahamie hapo kutoka Manchester City Mwezi Januari kumeifanya AC Milan ijizatiti nafasi ya 3 kwenye Serie A wakiwa na Pointi 54 na juu yao ni Napoli wenye Pointi 56 na kileleni ni Juventus wenye Pointi 65 huku Mechi zikiwa zimebaki 9.
Mechi kati ya Sampdoria na Inter Milan haikuchezwa kutokana na hali ya hewa mbaya.
Mario Ballotelli akiifungia bao la pili AC Milan

RATIBA/MATOKEO:
SERIE A
Jumamosi Machi 16
Catania 3 Udinese 1
Bologna 0 Juventus 2

Jumapili Machi 17
Siena 0 Cagliari 0
AC Milan 2 Palermo 0
Torino 1 Lazio 0
Sampdoria v Inter Milan [Imehairishwa]
Napoli 3 Atalanta 2
Pescara 0 Chievo Verona 2
Fiorentina 3 Genoa 2
AS Roma 2 Parma 0

No comments:

Post a Comment