Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, February 27, 2013

REAL MADREAD ILIPOIFUNGASHA VIRAGO BARCELONA

NYOTA wa Real Madrid, Cristiano Ronaldo alithibitisha thamani yake kwa kufungia timu yake mabao mawili na kuipa timu yake ushindi wa 3-1 katika Nusu Fainali ya Kombe la Mfalme dhidi ya Barcelona.

 

Huo ulikuwa usiku mzuri kwa Mourinho ndani ya Barcelona tangu aiwezeshe Inter Milan kutinga fainali ya Ligi ya Mabingwa akiwa na wachezaji 10.

Star: Cristiano Ronaldo scored two goals as Real Madrid beat Barcelona 3-1 at the Nou Camp
Nyota: Cristiano Ronaldo alifunga mabao mawili Real Madrid ikiifunga Barcelona 3-1 Uwanja wa Nou Camp




 

 


 
 

 

 
 
 

 

 

 

Katika mchezo huo, Messi, ambaye aliingia uwanjani kusaka bao la 50 msimu huu, alifunikwa kama ilivyokuwa kwenye mechi na AC Milan.

Cynical: Ronaldo was brought down by Gerard Pique in the penalty area in the 13th minute
Ronaldo akiangushwa chini na Gerard Pique na kuwa penalti akaenda kufunga mwenyewe dakika ya 13


Lead: Ronaldo sent Jose Manuel Pinto the wrong way to open the scoring from the spot
Ronaldo akimpeleka kulia Jose Manuel Pinto, huku mpira ukitinga kushoto





 

 

Messi alifunikwa na beki kinda Mfaransa, Raphael Varane, na alikuwa bwana mdogo huyo huyo wa miaka 19 aliyefunga kwa kichwa bao la tatu.
Bao la Varane lilikumbushia bao lake la kusawazisha katika mchezo wa kwanza na lilimsisimua mno Mourinho, ambaye alimvaa beki huyo wa kati kwenye mstari wa kuingia uwanjani na kuanza kushangilia naye.

Jordi Alba aliifungia bao la kufutia machozi Barca dakika za lala salama akimalizia pasi nzuri ya Andres Iniesta.


Gap: Ronaldo followed up Sami Khedira's effort to double Madrid's lead in the second half
Ronaldo akifunga la pili




Gap: Ronaldo followed up Sami Khedira's effort to double Madrid's lead in the second half

Mourinho alimpeleka nje Iker Casillas kukutana na vyombo vya habari mwishoni mwa mchezo na kuitaka Real Madrid ihakikishe Ronaldo anabaki.

Tetesi zinamhusisha mchezaji huyo na kurejea England, huku ikisemekana klabu hiyo haina mpango wa kumuongezea mkataba wake ambao unamalizika mwaka 2015, na Casillas alisema: ‘Ni mchezaji wetu muhimu mno katika mechi hizi kubwa.

‘Alikuwa tu siyo babu kubwa usiku huu, lakini amekuwa hivyo katika Clasicos nyingine. Ni shujaa wetu.’


Cruising: Raphael Varane rose highest to head home from a corner and put Real 3-0 up
Raphael Varane akifungwa kwa kichwa bao la tatu

Delight: Varane celebrated his goal with manager Jose Mourinho


Delight: Varane celebrated his goal with manager Jose Mourinho




Downbeat: Lionel Messi looked dejected as Madrid cruised past Barcelona
Lionel Messi na chini kulia taabani

Lionel Messi


Too little, too late: Jordi Alba scored a late consolation for Barcelona
Jordi Alba akishangilia bao lake la kufutia machozi
Heated: Pepe fell to the floor as tensions ran high between the arch rivals
Pepe akiwa ameanguka chini baada ya kupambana na wapinzani wake



Scouting: Sir Alex Ferguson and his United assistant Mike Phelan were in the stands at the Nou Camp
Sir Alex Ferguson na Msaidizi wake, Mike Phelan walikuwa Nou Camp jana
Opposition: Mourinho talked to Barcelona's assistant coach Jordi Roura before the match
 

No comments:

Post a Comment