Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, October 20, 2012

(BREAKING NEWS),HABARI MOTOMOTO KABANGE WA APR ATUA BONGO KWA MAZUNGUMZO NA YANGA

Kabange (aliyevaa kofia) akiwa na Mbuyi Twite anbaye ni pacha yake  baada ya mchezo dhidi ya Yanga na Ruvu Shooting


Habari motomoto tulizozipata lakina hazijathibitishwa zinasema mchezaji pacha wa Mbuyi Twite anayechezea Yanga ametua nchini kwa ajili ya Mazungumzo na wanajangwani.
Mchezaji huyu ambaye anafahamika kwa jina la Kabange anachezea APR ya Rwanda alimshuhudia pacha wake akifunga bao la kwanza dhidi ya Ruvu Shooting.
Tunaendelea kufuatilia ukweli wa habari hizi na tutawajuza kinachoendelea

No comments:

Post a Comment