Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, July 24, 2015

CHRISTIAN BENTEKE AFANYA MAZOEZI NA WENZAKE KWA MARA YA KWANZA TANGU ATUE LIVERPOOL


Straika mpya wa Liverpool amefanya mazoezi yake ya kwanza leo na Wenzake Liverpool tangu ajiunge na Klabu hiyo kwenye Uwanja wa Mazoezi wa Melwood.

Benteke akiteta na  Mario Balotelli kwa furaha wakati wa Mazoezi

Benteke akiwa karibu na mgeni mwenzake  Roberto Firmino

Benteke akipiga kichwa mpira

Benteke akipeana mpira na Philippe Coutinho, aliyecheza  Copa America msimu huu

Benteke na mpira
Kutua kwa Benteke ni habari nyingine  Balotelli na Fabio Borini wana kazi ya ziada

Balotelli, Emre Can, Coutinho, na  Benteke wakati wanapasha kujiandaa na msimu mpya wa 2015/2016

Picha ya Pamoja

No comments:

Post a Comment