Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, August 10, 2014

LIVERPOOL 4 - 0 DORTMUND


  Daniel Sturridge akicheza muziki kama kawaida yake baada ya kufunga bao lake katika dakika ya 10 dhidi ya  Borussia Dortmund

Kocha wa Liverpool  Brendan Rodgers akisalimiana na kocha Jurgen Klopp kabla ya mtanange kuanza

 Glen Johnson akimtawanya mchezaji wa  Borussia Dortmund Patrick Aubameyang
Sturridge alifunga bao na kufanya  1-0 dhidi ya Dortmund ndani ya dakika 10 tuu

 Dejan Lovren akifunga bao lake

 Henrikh Mkhitaryan akichuana vikali na  Jordan Henderson juu kwa juu ili amtoe mpira

 Martin Skrtel na Jordan Henderson wakifurahia ushindi

Lukas Piszczek akigombea mpira na Raheem SterlingKocha wa Liverpool Brendan Rodgers
VIKOSI VILIVYOKUWA:
Liverpool:
Mignolet; Manquillo (Kelly 85'), Johnson (Enrique 61'), Skrtel, Lovren; Gerrard, Can (Lucas 46'), Henderson (Allen 80'), Sterling, Coutinho (Ibe 72'); Sturridge (Lambert 76').
Subs (not used): Jones, Toure, Sakho, Coates, Suso
Goals: Sturridge 10' Lovren 14' Coutinho 49' Henderson 61'
Borussia Dortmund: Langerak; Piszczek (Großkreutz 58'), Sokratis (Knystock 81'), Ginter, Schmelzer (Sarr 81'); Kehl (Bender 46'), Kirch (Immobile 46'), Mkhitaryan (Ji 64'), Aubameyang (Bandowski 76'), Jojic (Amini 77'); Ramos (Hofmann 46')
Subs (not used): Bonmann, Subotic 

No comments:

Post a Comment