

Kila Kundi lina Timu 4 na hivyo kila Timu kucheza Mechi 3 na Mechi zinazofuatia kwao ni Man United kucheza na Inter Milan kwenye Uwanja wa FedEx Field ndani ya Washington DC Jumatano Asubuhi na City kucheza na Liverpool Siku inayofuata huko Yankee Stadium, New York.
Kanuni za Mashindano haya ni tofauti kidogo kwani wakati Mshindi wa kila Mechi hupewa Pointi 3, ikitokea Timu kuwa Sare mpaka mwisho wa Dakika 90, Mikwaju ya Penati 5 hupigwa ili kupata Mshindi ambae hupewa Pointi 2 na aliefungwa Pointi 1.

Kocha wa United Louis van Gaal akiwacheki vijana wake kwenye mazoezi.

Shaw (katikati) na wenzake wakijifua tayari kwa mchezo wao na Inter Milan hapo kesho Agosti 30

Juan Mata na Darren Fletcher wakisubiri maelekezo kutoka kwa mwalimu wao jana wakati wa Mazoezi

Louis van Gaal na Chris Smalling kwenye Mkutano na Vyombo vya habari huko Maryland

Jonny Evans, Danny Welbeck na Wilfried Zaha a wote wakijifua

Evans, Will Keane na Michael Keane (kulia) wakijiweka sawa tayari kwa mtanange wao wa kesho na Inter Milan.

Wachezaji wa Manchester United wakisikiliza nen kutoka kwa Kiongozi

Kipa David de Gea

Juan Mata na Tom Cleverley

Wayne Rooney

Rooney na Evans wakisikilizia wakati wa mazoezi yao kujiweka sawa tayari kukwaana na Inter Milan Washington D.C. – FEDEXFIELD
RATIBA
Ijumaa Julai 25
Olympiacos CFP 3 AC Milan 0
Jumamosi Julai 26
Manchester United 3 vs AS Roma 2
Jumapili Julai 27
Real Madrid CF 1 vs Inter Milan 1 [Penati 2-3]
AC Milan 1 Manchester City 5
Jumatatu Julai 28
Liverpool 1vs Olympiacos CFP 0
Jumatano Julai 30
02:00 Manchester United v Inter Milan [Washington D.C. – FEDEXFIELD]
05:15 Real Madrid CF v AS Roma [Dallas, Texas - COTTON BOWL]
Alhamisi Julai 31
02:00 Manchester City v Liverpool New York, NY - YANKEE STADIUM
Jumamosi Agosti 2
20:00 Inter Milan v AS Roma [Philadelphia, PA - LINCOLN FINANCIAL FIELD]
22:00 Olympiacos CFP v Manchester City [Minneapolis - TCF BANK STADIUM]
23:06 Manchester United v Real Madrid CF [Michigan Stadium - ANN ARBOR]
No comments:
Post a Comment