Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, January 10, 2014

KILIMANJARO QUEENS YAIFUMUA KENYA 108-5, ZANZIBAR YAFUNGWA NA UGANDA KOMBE LA MAPINDUZI

Mchezaji wa Tanzania Bara, Kilimanjaro Queens, Mwanaidi Hassan akifunga kwenye goli la Kenya katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi jioni ya leo Uwanja wa Gymkhana, Zanzibar. Queens walishinda 108-5.
Mchezaji wa Zanzibar, Mainda Roger akimiliki mpira mbele ya mchezaji wa Uganda katika mchezo wa Kombe la Mapinduzi jioni ya leo Uwanja wa Gymkhana, Zanzibar. Uganda walishinda 53-37.
Peace Prosocovia wa Uganda akipiga mpira mbele ya mchezaji wa Zanzibar, Mwajuma Hamad
Pili Peter wa Zanzibar akidaka mpira katikati ya wachezaji wa Uganda
Wachezaji wa Uganda na Zanzibar wakigombea mpira
Irene Elias wa Tanzania Bara akidaka mpira mbele ya wachezaji wa Kenya
Mwanaidi akifunga
Rachel Nanyonga wa Uganda akimiliki mpira katikati ya wachezaji wa Zanzibar
Asha Ibrahim wa Zanzibar kulia akigombea mpira na mchezaji wa Uganda, Lillian Ajio
Viongozi wa CHANETA na CHANEZA wakiwa na Katibu wa TBF, Saleh Zonga wa pili kushoto
Meneja wa Queens, Zakia Kondo kushoto akiwa na mchezaji wake, Fatuma Bakari

No comments:

Post a Comment