Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, October 15, 2012

BONDIA WA TANZANIA MASHALI AMTWANGA SEBYALA TOKA UGANDA KWA POINTI






Bondia Thomas Mashali usiku wa kuamkia leo alifanikiwa kumtupia makonde mazito na ya akili bondia Medy Sebyala wakati wa mpambano wao wa kugombea ubingwa wa Afrika Mashariki na Kati ambapo Mashali alishinda kwa point.
 
Pichani juu akiwa na Kenyella mkuu wa jeshi la polisi Kinondoni

Picha ya kati akipambana vikali na mpinzani wake Medy Sebyala na picha ya chini akiwa na mashabiki wake akiwemo msanii wa muziki wa kizazi kipya Joseph Haule Profesa J, mlinzi wa kati wa mabingwa soka Tanzania Bara Simba, Juma Nyoso pamoja na kiungo Haruna Moshi 'Boban'.


No comments:

Post a Comment