• Home
  • About Us
  • Contact Us

LENZI YA MICHEZO

MICHEZO NA BURUDANI


  • Home
    • MICHEZO
    • KITAIFA
    • SOKA
    • KIMATAIFA
    Home / Unlabelled / EDDIE HOWE AWA MENEJA BORA ENGLAND

    EDDIE HOWE AWA MENEJA BORA ENGLAND

    Rahel Pallangyo Wednesday, May 27, 2015

    Kocha wa Bournemouth ya England Eddie Howe
    Kocha wa timu ya soka Bournemouth ya England Eddie Howe ametajwa kuwa meneja bora wa mwaka wa shirikisho la mameneja wa soka nchini Uingereza LMA.
    Kutajwa kwa meneja huyo kunakuja kufuatia kuiongoza kwa mafanikio klabu yake ambayo imeingia ligi kuu ya England kwa mara ya kwanza tokea ianzishwe zaidi ya miaka 100 iliyopita. Howe anakuwa kocha wa pili kutoka nje ya ligi kuu kushinda tuzo hiyo tangia mwaka 1992. "siamini kabisa, ni jambao nisilotarajia" alisema kocha huyo.

    Related Posts

    Post a Comment

    No comments

    Post a Comment

    Subscribe to: Post Comments ( Atom )

    MPIGANAJI

    MPIGANAJI

    WATEMBELEAJI

    Blogu Marafiki

    • HABARI NA MATUKIO
      Mariam Ibrahim Ahimiza Matumizi ya Nishati Safi Mkuranga - *Na Mwandishi Wetu.* *MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, ameendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia.* *Ameyasema hayo le...
      8 hours ago
    • BBC News Swahili
      Washington na Tehran zinakaribia kufikia makubaliano ya kufungua tena Mlango wa bahari wa Hormuz - Mpango wa kurefusha muda wa usitishaji mapigano umeripotiwa na vyombo vya Habari vya pande zote mbili lakini hakuna makubaliano rasmi yaliyofikiwa.
      9 hours ago
    • MICHUZI BLOG
      MBUNGE MARIAM IBRAHIM AHIMIZA MATUMIZI NISHATI SAFI YA KUPIKIA WILAYANI MKURANGA - MBUNGE wa Viti Maalum Mkoa wa Pwani, Mariam Ibrahim, ameendelea kuhamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia. Ameyasema hayo leo alipokuwa mgeni rasmi...
      9 hours ago
    • Wazalendo 25 Blog
      Miundombinu : Miradi ya Barabara ni Ufunguo wa Uchumi wa Wananchi - Waziri Mkuu - WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kuwekeza katika miradi ya barabara nchini kwa kuwa ndiyo msingi wa kufungua uchumi, kurah...
      13 hours ago
    • LENZI YA MICHEZO
      WAZIRI MKUU AHIMIZA MALEZI YA KIMAADILI NA USHIRIKIANO WA KIJAMII - WAZIRI MKUU, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema jamii inapaswa kurejea katika misingi ya malezi ya pamoja na uwajibikaji wa kijamii ili kujenga kizazi cheny...
      16 hours ago
    • MOBILA SAFARIS
      The Legend Begins at Booth R22 - From *June 4–7, 2026*, the heart of African travel beats at *Karibu Kilifair Arusha*. Amidst the energy and inspiration of the continent's premier touris...
      1 day ago
    • BIN ZUBEIRY SPORTS - ONLINE BLOG
      NAMUNGO FC YAAMBULIA SARE KWA MBEYA CITY, 1-1 UWANJA WA MAJALIWA - WENYEJI, Namungo FC wamelazimishwa sare ya kufungana bao 1-1 na Mbeya City katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara usiku huu Uwanja wa Majaliwa, R...
      3 days ago
    • CCM Blog
      KUMBUKIZI YA DARAJA LA NYERERE 2016-2026 - Daraja la Nyerere lililozinduliwa na aliye kuwa Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli Aprili 19, 2016. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) Picha za Viongozi mba...
      5 weeks ago
    • ZanziNews
      WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS - MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka jiwe la ms...
      1 month ago
    • HABARI MSETO BLOG
      -
    • WWW.BUKOBASPORTS.COM
      -
    Show 7 Show All

    TUFUATILIE

    • 200 Fans Like
    • 31,960 Followers Follow
    • 0 Fans Follow
    • 18 Subscribers Subscribe

    HABARI ZA MICHEZO PENDWA

    •  Kati ya 594 ni 18 tu wapenya Tuzo za EJAT
      Kati ya 594 ni 18 tu wapenya Tuzo za EJAT
      Baraza la Habari Tanzania (MCT) limetangaza orodha ya wateule 18 watakaowania Tuzo za Umahiri wa Uandishi wa Habari Tanzania (EJAT) kwa msim...
    •  Trilioni 4.2 Kulinda Mipaka: Serikali Yaanika Mkakati Kabambe wa Kuimarisha Ulinzi wa Taifa
      Trilioni 4.2 Kulinda Mipaka: Serikali Yaanika Mkakati Kabambe wa Kuimarisha Ulinzi wa Taifa
      Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limefarijika baada ya kuelezwa rasmi kuwa mipaka yote ya nchi iko salama na shwari kufuatia usimami...
    •  ARSENAL BINGWA! Angalia safari ya miaka 6 ya Arteta
      ARSENAL BINGWA! Angalia safari ya miaka 6 ya Arteta
      Shangwe, vigelegele na nderemo za furaha zimerindima England na kote duniani baada ya Arsenal kutunukiwa rasmi ubingwa wa Ligi Kuu ya Englan...
    •  RAIS SAMIA AUNDA TUME YA UCHUNGUZI WA KIJINAI VURUGU UCHAGUZI MKUU  2025 KUONGOZWA NA JAJI SHABANI LILA
      RAIS SAMIA AUNDA TUME YA UCHUNGUZI WA KIJINAI VURUGU UCHAGUZI MKUU 2025 KUONGOZWA NA JAJI SHABANI LILA
      Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia ya W...
    •  Bi. Khadija Kopa Afunguka Tetesi za Mimba ya Zuchu
      Bi. Khadija Kopa Afunguka Tetesi za Mimba ya Zuchu
      Malkia wa mipasho nchini Tanzania, Bi. Khadija Kopa, amevunja ukimya na kuzitolea ufafanuzi tetesi zinazosambaa kwa kasi mtandaoni kwamba bi...
    •  Ushindani na Filamu za Kimataifa: ZIFF 2026 Kuleta Mapinduzi ya AI na Burudani Visiwani Zanzibar
      Ushindani na Filamu za Kimataifa: ZIFF 2026 Kuleta Mapinduzi ya AI na Burudani Visiwani Zanzibar
      JUMLA ya filamu 65 zimefanikiwa kuingia kwenye hatua ya ushindani katika Tamasha la Kimataifa la Filamu la Zanzibar (ZIFF) la msimu wa 29 ka...
    •  SAMIA AFUNGUKA NISHATI YA NYUKLIA BARANI AFRIKA
      SAMIA AFUNGUKA NISHATI YA NYUKLIA BARANI AFRIKA
      Na Mwandishi Maalum Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametoa mwito kwa viongozi na wadau wa nishati barani ...
    •   RAIS DKT. MWINYI ASITISHA MJADALA WA KUONGEZA MUDA WA URAIS
      RAIS DKT. MWINYI ASITISHA MJADALA WA KUONGEZA MUDA WA URAIS
      Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amesema hana nia ya kuongeza muda wa Urais zaidi ya mud...
    •  Serikali Yalishauri Baraza la Vyama vya Siasa Kuimarisha Mahusiano na Jamii Kulinda Amani
      Serikali Yalishauri Baraza la Vyama vya Siasa Kuimarisha Mahusiano na Jamii Kulinda Amani
      Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi, Ajira na Mahusiano, Zuhura Yunus amelishauri Baraza la Vyama vya Siasa kuwa daraja la kuimaris...
    •  RIO FERDINAND APOKEWA DAR KWA KISHINDO
      RIO FERDINAND APOKEWA DAR KWA KISHINDO
      Nahodha na mchezaji wa zamani wa klabu ya Manchester United na timu ya taifa ya England, Rio Ferdinand, amelakiwa na umati mkubwa wa mashabi...

    Wasomaji Kimataifa

    Flag Counter

    MAKTABA YA MICHEZO

    BURUDANI GOFU HABARI JEZI JUDO KIKAPU KUOGELEA MICHEZO MICHEZO KIMATAIFA MICHEZO KITAIFA NGUMI RIADHA SANAA SOKA TAFF TFF WALEMAVU WANAWAKE

    KUMBUKUMBU ZA MICHEZO

    MARAFIKI

    HABARI MCHANGANYIKO

    HABARI MPYA

    HABARI ZINASOMWA ZAIDI

    • RATIBA NA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA RAUNDI YA PILI, KAGERA SUGAR vs MBEYA CITY KUCHEZWA KAITABA STADIUM JUMAMOSI, YANGA VS ASHANTI UNITE TAIFA
      RATIBA NA MSIMAMO WA LIGI KUU TANZANIA BARA RAUNDI YA PILI, KAGERA SUGAR vs MBEYA CITY KUCHEZWA KAITABA STADIUM JUMAMOSI, YANGA VS ASHANTI UNITE TAIFA
      Mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Vodacom (VPL) kuwania ubingwa wa Tanzania Bara unaanza Jumamosi kwa mechi tano katika miji ya Bukob...
    • RATIBA LIGI KUU ENGLAND WIKIENDI HII NA MSIMAMO ULIVYO MPAKA SASA 2013/2014
      RATIBA Jumamosi 31 Agosti 14:45 - Manchester City v Hull City 17:00 - Cardiff City v Everton 17:00 - Newcastle United v Fulham 17:0...
    • HAWA NDIO MANCHESTER UNITED INAOWANYATIA KWENYE USAJILI LIGI KUU ENGLAND
      David Moyes is hoping for a more successful transfer window this time around Luke Shaw of Southampton ...

    Copyright (c) 2012 - 2025 LENZI YA MICHEZO All Right Reserved

    Designed by Gadiola Emanuel - 0784 643 633
    Template By TBN | Developed By Gadiola Emanuel