Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Thursday, October 31, 2013

MASHINDANO YA LIGI YA MUUNGANO YA NETBOLI YAMALIZIKA ZANZIBAR.


Mkuu wa Wilaya Mjini Unguja Abdi Muhmud Mzee akimkadhi Kombe kepteni wa Timu ya Mafunzo Elizabeth John mara baada ya kumaliza mchezo wake na Magereza na kuchukua nafasi ya pili ya ligi ya Muungano iliyofanyika kiwanja cha Jimkana Mjini Zanzibar jana.

Mkuu wa Wilaya Mjini Unguja Abdi Muhmud Mzee akimkadhi Kombe kepteni wa Timu ya JKT Mwanaidi Hasan. Baada ya Timu hiyo kutwaa ubingwa wa Netboll katika ligi ya Muungano.
Rais wa Chaneta Bi. Anna Kibira akizungumza na wachezaji mara baada ya kumaliza kwa ligi ya Muungano iliyofanyika Jimkana Mjini Zanzibar jana.

No comments:

Post a Comment