SHIRIKISHO
la Soka Duniani-FIFA limeionya serikali ya Tunisia kuingilia masuala ya
soka baada ya waziri wa michezo wa nchi hiyo Tarek Dhiab kuliomba
shirikisho hilo kuvunja uongozi wa soka wan chi hiyo. FIFA imeiataka
serikali ya nchi hiyo kutoingilia masuala ya shirikisho la soka la nchi
hiyo kwani watalazimika kuifungia nchi hiyo kama sheria zinavyosema.
Hatua hiyo imepelekea Waziri Mkuu wa nchi hiyo Ali Laarayedh kuitisha
mkutano wa dharura ambao pia utahudhuriwa na wajumbe wa shirikisho hilo
pamoja na wawakilishi kutoka wizara ya michezo ili kujaribu kutatua
tatizo lililopo. Mapema jana msemaji wa shirikisho la soka la nchi hiyo
amesema kauli ya Dhiab inaweza kuwafanya wakafungiwa na FIFA hivyo
kuzifanya timu zinashiriki michuano ya Klabu Bingwa barani Afrika na
Kombe la Shirikisho kukosa nafasi ya kuendelea.
DKT. MWIGULU: ACHENI UBOSI KWENYE KAZI ZA WATU
-
*Kijana Gideon amshukuru kurejeshewa fedha za mtaji wa dagaa
WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amewataka watendaji wa Serikali waache
kufanya ubosi kwen...
The Legend Begins at Booth R22
-
From *June 4–7, 2026*, the heart of African travel beats at *Karibu
Kilifair Arusha*. Amidst the energy and inspiration of the continent's
premier touris...
KUMBUKIZI YA DARAJA LA NYERERE 2016-2026
-
Daraja la Nyerere lililozinduliwa na aliye kuwa Rais wa Tanzania John
Pombe Magufuli Aprili 19, 2016. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Picha za Viongozi mba...
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen
Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka
jiwe la ms...
Post a Comment