Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Sunday, April 14, 2013

MANCHESTER UNITED YAIFUNGA STOKE CITY 2-0 KWENYE LIGI YA UINGEREZA, RVP AANZA KUONDOA UKAME WA MABAO


Mfungaji wa bao la kwanza Michael Carrick na Robin van Persie mfungaji wa bao la pili wakipongezana

Carrick akinyoosha mikono juu baada ya kuziona nyavu mapeeeeema..Michael Carrick wa Manchester UnitedakishangiliaNi sisi tuu na Kombe...Hernandez wa Manchester United akiteta baada ya  Ryan Shawcross kuumia

Patashika Charlie Adam na Wayne Rooney
Soaring tensions: The pressure appears to show on Stoke as they fight relegation 
Kuumia kwenye mchezo ni jambo la kawaida

Goalbound? Michael Carrick connects with the ball in the fourth minute 
Goalbound? Michael Carrick connects with the ball in the fourth minute
Aerial battle: Phil Jones beats namesake Kenwyne to the ball 
Phil Jonesakigombea mpira na mchezaji wa Stoke
Mmoja anapigania nafasi ya kutwaa kombe mmoja anapigania kutotelemshwa kwenye mstari wa kushuka darajaRobin van Persie wa Manchester United akichonga penati ambayo imezaa bao la 2 na la ushindiNawavulia kofia United ni nyie tuuuu mwaka wenu huu...
VIKOSI:
Stoke: Begovic, Cameron (Jerome, 71), Huth, Shawcross, Wilkinson, Shotton, Whelan, Nzonzi, Adam, Jones (Crouch, 84), Walters (Owen, 77)
Subs not used: Sorensen, Palacios, Whitehead, Kightly
Booked: Jerome
Manchester UnitedDe Gea, Evra, Jones, Ferdinand, Vidic, Valencia, Carrick, Kagawa, Rooney, Hernandez (Welbeck, 77), Van Persie
Subs not used: Lindegaard, Evans, Smalling, Buttner, Giggs, Cleverley,
Goals: Carrick 4, Van Persie 66
Booked: Valencia
Ref: Jon Moss
Att: 27,191

No comments:

Post a Comment