COASTAL YAIPUMULIA SIMBA
Timu ya Coastal Union ya Tanga jana iliwafunga wakata miwa wa Kagera Kagera Sugar bao 4-1 mchezo uliongurumishwa kwenye uwanja wa mkwakwani jijini Tanga
Coastal imefanya mauaji hayo na kufanikiwa kushika nafasi ya pili nyuma ya Simba baada ya kocha Juma Mgunda na msaidizi Kondo kubwaga manyanga na timu kuchukuliwa na Juma Pondamali 'Mensa"
Mchezo mwingine ulikwa kati ya Polisi Moro 0 na 0 Toto African na kuifanya Polisi Moro kushika nafasi ya pili toka mwisho kwani wana pointi 2 tu na nafasi wa mwisho inshikiliwa na Mgambo JKT ambayo haina pointi
Coastal imefanya mauaji hayo na kufanikiwa kushika nafasi ya pili nyuma ya Simba baada ya kocha Juma Mgunda na msaidizi Kondo kubwaga manyanga na timu kuchukuliwa na Juma Pondamali 'Mensa"
| Kikosi cha Coastal Union |
Mchezo mwingine ulikwa kati ya Polisi Moro 0 na 0 Toto African na kuifanya Polisi Moro kushika nafasi ya pili toka mwisho kwani wana pointi 2 tu na nafasi wa mwisho inshikiliwa na Mgambo JKT ambayo haina pointi
Post a Comment