Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, August 5, 2016

RATIBA YA MICHEZO YA HATUA YA MTOANO YA EUROPA LIGI

.
RATIBA ya hatua ya mtoano ya Michuano ya Europa Ligi imepangwa mchana huu huko Nyon,Uswisi.
Katika ratiba hiyo klabu ya KRC Genk inayochezewa na Mtanzania,Mbwana Ally Samatta,imepangwa kuvaana na Lokomotiva Zagreb ya Croatia.
Michezo ya mkondo wa kwanza itachezwa Agosti 18 na ile ya marudiano itakuwa Agosti 25.
Ratiba Kamili
Astana(KAZ) v BATE (BLR)
Arouca(POR) v Olympiacos (GRE)
Midtjylland (DEN) v Osmanlıspor (TUR
Trenčín(SVK) v Rapid Wien (AUT)
Lokomotiva Zagreb (CRO) v Genk (BEL)
AEK Larnaca (CYP) v Liberec (CZE)
Dinamo Tbilisi(GEO) v PAOK (GRE)
Austria Wien (AUT) v Rosenborg (NOR)
Beitar Jerusalem (ISR) v St-Étienne (FRA) Vojvodina (SRB) v AZ (NED)
Maribor (SVN) v Qäbälä (AZE)
Slavia Praha(CZE) v Anderlecht (BEL)
Astra(ROU) v West Ham (ENG)
Fenerbahçe (TUR) v Grasshoppers (SU
Brøndby (DEN) v Panathinaikos (G
Krasnodar(RUS) v Partizani (ALB)
Gent(BEL) v Shkëndija (MKD)
İstanbul Başakşehir (TUR) v Shakhtar Donetsk (UKR)
SønderjyskE(DEN) v Sparta Praha(CZ
Sassuolo (ITA) v Crvena zvezda(S
Göteborg(SWE) v Qarabağ (AZE)
M. Tel-Aviv (ISR) v Hajduk Split (CRO

No comments:

Post a Comment