Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, December 5, 2015

CHEKI SIMON MSUVA ALIVYOOGESHWA KWENYE BIRTHDAY PARTY YAKE

Msuva 23




Ulipitwa na Birthday Party ya Simon Msuva? kama ilikupita basi mtandao huu unakupa fursa ya kushuhudia matukio yote yaliyojiri kwenye party hiyo iliyofanyika usiku wa December 3 wakati mchezaji huyo wa Yanga na Taifa Stars alikpokuwa akiadhimisha siku yake ya kuzaliwa.
Picha zinazoonesha matukio mbalimbali yaliyojiri kwenye party hiyo zitakufanya ujione uliwa miongoni mwa watu waliokuwepo kwenye party hiyo.
Timu ya ushindi kutoka shaffihdauda.co.tz ilikuwepo eneo la tukio ili kukufanya wewe uwe karibu na matukio yaliyojiri usiku huo. Angalia picha za matukio hayo kuanzia mwanzo mpaka mwisho.
Msuva 25 Msuva 24 Msuva 22


Keki iliyoandaliwa kwa ajili ya kumpongeza Simon Msuva katika birthday party yake
Keki iliyoandaliwa kwa ajili ya kumpongeza Simon Msuva katika birthday party yake
Msuva akitoa neno kwa watu waliohudhuria birthday part yake usiku wa December 3, 2015
Msuva akitoa neno kwa watu waliohudhuria birthday part yake usiku wa December 3, 2015
Divaz nao hawakuwa mbali kumpa sapoti ya nguvu Simon Msuva
Divaz nao hawakuwa mbali kumpa sapoti ya nguvu Simon Msuva
Fred kutoka kundi la makomando akifungua Sham-pain wakati wa party hiyo ili watu wa-enjoy
Fred kutoka kundi la makomando akifungua Sham-pain wakati wa party hiyo ili watu wa-enjoy
Msuva (kushto) pamoja na Muki kutoka kundi la Makomando wakiyarudi kwa style ya 'kibega'
Msuva (kushto) pamoja na Muki kutoka kundi la Makomando wakiyarudi kwa style ya ‘kibega’
Msuva na wadau katika picha ya pamoja
Msuva na wadau katika picha ya pamoja
Birthday Boys wakiwa makini kusikiliza maelekezo yaliyokuwa yakitolewa na MC kuhusu taratitbu mbalimbali kwenye party hiyo
Birthday Boys wakiwa makini kusikiliza maelekezo yaliyokuwa yakitolewa na MC kuhusu taratitbu mbalimbali kwenye party hiyo
Simon Msuva akimlisha keki dada yake Merry Msuva
Simon Msuva akimlisha keki dada yake Merry Msuva
Hawa jamaa wote ni ma-dancer wakaanza kupiga show ukumbini
Hawa jamaa wote ni ma-dancer wakaanza kupiga show ukumbini
Wakati wa Mose Iyobo kulishwa keki na Msuva ukafika
Wakati wa Mose Iyobo kulishwa keki na Msuva ukafika
Msuva akamlisha keki pia mdogo wake James Msuva
Msuva akamlisha keki pia mdogo wake James Msuva
Ukitoa kucheza katika kikosi kimoja hawa jamaa ni washkaji sana Simon Msuva na Juma Abdul
Ukitoa kucheza katika kikosi kimoja hawa jamaa ni washkaji sana Simon Msuva na Juma Abdul
Msuva 18
Juma Abdul pia alikuwepo kwenyye party hiyo, hapa akapata fursa ya kulishwa keki na mchizi wake wa karibu Simon Msuva
Juma Abdul pia alikuwepo kwenye party hiyo, hapa akapata fursa ya kulishwa keki na mchizi wake

No comments:

Post a Comment