Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, August 5, 2015

ASHLEY YOUNG KUSAINI MKATABA MPYA MAN UNITED

Winga Ashley Young yupo mbioni kusaini Mkataba mpya na Timu yake Manchester United ambao utamzidishia Mshahara wake na kufikia Pauni 120,000 kwa Wiki.
Young, ambae alijiunga na Man United Mwaka 2011 akitokea Aston Villa, anatarajiwa kupewa Mkataba wa Miaka Mitatu.
Msimu uliopita, chini ya Meneja mpya Louis van Gaal, Young alikuwa ni mmoja wa Wachezaji waliowika sana huku yeye akitumiwa sana kama Fulbeki au Winga wa Kushoto anaepanda na kushuka upande huo.

No comments:

Post a Comment