Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Thursday, May 28, 2015

CARLOS BACCA AIWEZESHA SEVILLA KUTETEA KOMBE LAO UEFA EUROPA LEAGUE

Straika wa Sevilla  Carlos Bacca akiifungia bao la Ushindi kipindi cha pili dakika ya 73

Juhudi binafsi za Bacca zilimfanya aifungie bao mbili na Kipa wa  Dnipro Denys Boyko Pamoja na kuwa kulilinda vyema lango lake hakuona ndani bao la mwisho la Bacca.

Bacca akishangilia

Carlos Bacca akiomba mara baada ya  kufunga bao mbele ya wapiga picha pembeni ya Uwanja
Mchezaji wa zamani wa  Blackburn Rovers  Kalinic alishangilia bao lake huko Warsaw, Poland

Kalinic akipongezwa na Wana Dnipro

Dnipro Mashabiki waliosafiri kwenda kuishangiliaTimu yao
Carlos Bacca  ndie aliyewafungia bao la Ushindi Sevilla na kufanya Timu hiyo kuibuka na Ushindi wa bao 3-2 dhidi ya Dnopro. Ushindi huu unawafanya Sevilla kulibeba kombe hilo kwa mara ya nne.Carlos Bacca akishangilia moja ya bao lake usiku huu kwenye Fainali. Bacca kaifungia Sevilla bao 2 la pili na la tatu na kuipa Ushindi.Rotan wa Dnipro akishangilia ba la pili pamoja na Leo Matos

No comments:

Post a Comment