Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, October 10, 2014

Wayne Rooney ajitathimini upya na hasira zake

Nahodha wa Manchester United na England Wayne Rooney amesema kwa sasa ni mtu mzima, lakini amekuwa akitafakari ni namna gani ataweza kuzuia hasira zake mchezoni.
Rooney, mwenye umri 28, amekosolewa vikali baada ya kuonyeshwa kadi nyekundu katika mchezo wa ligi kuu soka England ambapo United iliibuka na ushindi wa bao 2-1 dhid ya West Ham uwanjani Old Trafford mwezi uliopita.
Rooney amesisitiza kuwa hivi sasa amebadilika tofauti na Yule wa zamani ambaye alikuwa na tabia ya kukasirika kila mara, hivyo amewataka radhi mashabiki wa united na kuongeza kuwa rafu aliyomchezea Stewart Downing haikuwa ya kiungwana.

No comments:

Post a Comment