Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, August 23, 2014

NYOTA HAWA WA REAL MADRID ZAMANI WATAIWEZA TANZANIA STARS? KUMALIZA UBISHI LEO


Mratibu ziara ya Real Madrid Denis Ssebo akiongea na waandishi wa habari juu ya ziara ya Magwiji wa Real Madrid ambao watacheza mchezo wa kirafiki na wachezaji wa zamani nyota  wa Tanzania mchezo ambao utapigwa uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam hapo kesho. kulia kabisa ni Christian Carembeu, Luis Figo katikati na Fernando Sanz Duran wapili kutoka kushoto.

Kocha Jamhuri Kihwelu wa Tanzania Eleven akiongea mbele ya waandishi wa habari juu ya maandalizi ya kikosi chake


Christian Sanz naye alipata nafasi ya kuongea na wanahabari

Christian Carembeu katikati naye alipata nafasi ya kuongea na wanahabari.

No comments:

Post a Comment