Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Saturday, January 5, 2013

YANGA YANG'ANG'ANIWA, YATOKA SARE 1-1

Mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Arminia Bielefeld kutoka Ujerumani, huko Uturuki, umemalizika kwa sare ya 1-1.
Kwa mujibu wa ukurasa wa facebook wa Yanga, Bao la Yanga lilifungwa katika dakika ya 60 na Tegete, akiunganisha pasi safi aliypewa na Saimon Msuva aliyewatoka walinzi wa Arminia Bielefeld.
Katika mchezo huo Athumani Iddi na Hamis Kiiza hawakuhusishwa katika mchezo huo baada yakutokuwa fiti kwa mchezo.
Kocha Mkuu wa Young Africans Ernest Brandts amesema amefurahishwa na kiwango walichokionyesha wachezaji wake na anaamini kadri siku zinavyokwenda wanazidi kuimarika na kuwa bora, hivyo katika michezo mingine wataendelea kuonyesha mabadiliko makubwa.
Kikosi cha Yanga kilichocheza mchezo huo ni:

No comments:

Post a Comment