Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Monday, September 30, 2013

RATIBA YA KLABU BINGWA ULAYA (UEFA CHAMPIONS LEAGUE) KESHO NA JUMATANO


Mechi za Makundi-Raundi ya Pili:
Mechi zote Saa 3 Dakika 45 Usiku
Jumanne 1 Oktoba 2013
FC Basel 1893 v FC Schalke 04
FC Steaua Bucureşti v Chelsea FC
Borussia Dortmund v Olympique de Marseille
Arsenal FC v SSC Napoli
Football Club Zenit v FK Austria Wien
FC Porto Club v Atlético de Madrid
AFC Ajax v AC Milan
Celtic FC v FC Barcelona

Jumatano 2 Oktoba 2013
FC Shakhtar Donetsk v Manchester United FC
Bayer 04 Leverkusen v Real Sociedad de Fútbol
Juventus v Galatasaray A.Ş.
Real Madrid CF FC København
Paris Saint-Germain v SL Benfica
RSC Anderlecht v Olympiacos FC
Manchester City FC v FC Bayern München
PFC CSKA Moskva v FC Viktoria Plzeň
*Jumanne Oktoba 1 na Jumatano Oktoba 2 Mashindano ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE, UCL, ambayo sasa yapo hatua za Makundi yakiwa na Makundi 8 ya Timu 4 kila moja ambako Timu 2 za juu husonga na kuingia Raundi ya Mtoano ya Timu 32, yataingia Mechi zake za pili baada ya kuanza hapo Septemba 17.









No comments:

Post a Comment