Mkuu wa mkoa
wa Dar es Salaam,Paul Makonda amewataja watuhumiwa 65 wa Dawa za Kulevya, katika majina hayo ametajwa
Freeman Mbowe, Mchungaji
Gwajima, Yusuf Manji, Idd Azzan.
Akizungumza na waandishi wa habari Ofisi kwake mapema leo jijini Dar, Makonda ameingia katika awamu ya pili ya kutaja majina hayo na kuyaweka hadharani,huku akieleza kuwa watuhumiwa hao watatakiwa kufika kituo cha polisi kati siku ya Ijumaa,saa tano asubuhi kwa mahojiano zaidi.
Gwajima, Yusuf Manji, Idd Azzan.
Akizungumza na waandishi wa habari Ofisi kwake mapema leo jijini Dar, Makonda ameingia katika awamu ya pili ya kutaja majina hayo na kuyaweka hadharani,huku akieleza kuwa watuhumiwa hao watatakiwa kufika kituo cha polisi kati siku ya Ijumaa,saa tano asubuhi kwa mahojiano zaidi.
Katika hatua
nyingine RC Makonda amekiri kukamatwa kwa Mmiliki wa kituo cha
Radio ya EFM,ajulikanae kwa jina la Francis Ciza,almaarufu kwa jina la Dj
Majay.
Radio ya EFM,ajulikanae kwa jina la Francis Ciza,almaarufu kwa jina la Dj
Majay.
"tulipokuwa
tukifanya opereseheni ya kuwakamata wahusika wote wa Dawa za kulevya juzi usiku
nae akakamatwa kwa mahojiano zaidi;"alisema Makonda.
Makonda amejibu habari za kukamatwa kwa Dj Majay mara baada ya kuulizwa swali na mmoja wa waandishi wa habari,kufuatia tetesi nyingi zilizokuwa zikisambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii.
Soma zaidi majina ya watuhumiwa wa sakala hilo la Dawa za kulevya.
Makonda amejibu habari za kukamatwa kwa Dj Majay mara baada ya kuulizwa swali na mmoja wa waandishi wa habari,kufuatia tetesi nyingi zilizokuwa zikisambazwa kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii.
Soma zaidi majina ya watuhumiwa wa sakala hilo la Dawa za kulevya.
No comments:
Post a Comment