NANI KUIBUKA KIDEDEA FAINALI ZA CECAFA CHALENJI CUP 2015 UGANDA NA RWANDA?
Rwanda walibaki Mtu 10 katika Dakika ya 121 baada ya Isaie Songa kupewa Kadi Nyekundu kwa kumpiga Kipepsi Beki wa Sudan.
Hadi Dakika za Nyongeza 30 kumalizika, Bao zilikuwa 1-1 na ndipo ikaja Mikwaju ya Penati Tano Tano ambazo Rwanda walitoka kidedea kwa Penati 4-2.
Nao Uganda na Wenyeji Ethiopia walicheza Dakika 120 bila kufungana na kisha Uganda kuingia Fainali kwa Penati 5-3.
RATIBA/MATOKEO:
Robo Fainali
Jumatatu Novemba 30
Uganda 2 v Malawi 0
Kilimanjaro Stars 1 v Sudan 1 [Ethiopia yasonga kwa Penati 4-3]
Jumanne Desemba 1
South Sudan 0 v Sudan 0 [Sudan yasonga kwa Penati 5-3]
Rwanda 0 v Kenya 0 [Rwanda yasonga kwa Penati 5-3]
Nusu Fainali
Alhamisi Desemba 3
Sudan 1 v Rwanda 1 [Sudan yasonga kwa Penati 4-2]
Uganda 0 v Ethiopia 0 [Uganda yasonga kwa Penati 5-3]
Jumamosi Desemba 5
Mshindi wa Tatu
Ethiopia v Sudan
Fainali
Uganda v Rwanda
Hadi Dakika za Nyongeza 30 kumalizika, Bao zilikuwa 1-1 na ndipo ikaja Mikwaju ya Penati Tano Tano ambazo Rwanda walitoka kidedea kwa Penati 4-2.
Nao Uganda na Wenyeji Ethiopia walicheza Dakika 120 bila kufungana na kisha Uganda kuingia Fainali kwa Penati 5-3.
RATIBA/MATOKEO:
Robo Fainali
Jumatatu Novemba 30
Uganda 2 v Malawi 0
Kilimanjaro Stars 1 v Sudan 1 [Ethiopia yasonga kwa Penati 4-3]
Jumanne Desemba 1
South Sudan 0 v Sudan 0 [Sudan yasonga kwa Penati 5-3]
Rwanda 0 v Kenya 0 [Rwanda yasonga kwa Penati 5-3]
Nusu Fainali
Alhamisi Desemba 3
Sudan 1 v Rwanda 1 [Sudan yasonga kwa Penati 4-2]
Uganda 0 v Ethiopia 0 [Uganda yasonga kwa Penati 5-3]
Jumamosi Desemba 5
Mshindi wa Tatu
Ethiopia v Sudan
Fainali
Uganda v Rwanda
Post a Comment