Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Friday, September 18, 2015

TOTTENHAM SPURS WAANZA EUROPA VYEMA BAADA YA KUIFUNGA QARABAG3-1

Lamela akishangilia bao lake tatu kwa Spurs.Kipa wa Spurs Hugo nae alishangilia bao hiloLamela mbele ya Mashabiki wa Spurs3-1Min Son nae alipongezwa kisawasawa kwa kuifungia Spurs bao mbili za mwanzoMin Son akishangilia moja ya bao lake mbele ya Mashabiki wa SpursRaha ya bao!SonPatashika kwenye lango, Son akitupia baoWakisalimiana Mameneja wote wawili kabla ya mtanangeKikosi cha Spurs kilichoanzaKipa wa spurs katikati akishangaa jambo kwa nyuma!

No comments:

Post a Comment