Mkurugenzi Mtendaji wa Man United, Ed Woodward, ameshamtembelea Shaw na Wazazi wake wamesafirishwa kumwona Mtoto wao.
Hata mwenyewe Shaw ameleta matumaini kwa kuposti Mitandaoni maendeleo yake ambayo pia hata Meneja wa Man United Louis van Gaal amegusia kuwa huenda Kijana huyo wa Miaka 20 akarejea dimbani mapema zaidi Machi Mwakani.
No comments:
Post a Comment