TOTTENHAM HOTSPURS NA CHELSEA KUCHEZA FAINALI WEMBLEY CAPITAL ONE CUP JUMAPILI
Ivanovic amedai Chelsea, ambayo itamkosa Kiungo wao Nemanja Matic aliefungiwa Mechi 2, inao uzoefu wa kucheza Fainali kupita Spurs.
Tottenham wametinga Fainali baada ya kuitoa Sheffield United kwa Jumla ya Mabao 3-2 kwa kushinda Mechi ya Kwanza wakiwa kwao White Hart Lane 1-0 kwa Bao la Penati ya Andros Townsend na kisha kutoka Sare 2-2 katika Marudiano Nyumbani kwa Sheffield United.
Post a Comment