Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, July 24, 2013

MANCHESTER UNITED YAFUNGWA BAO 2-3 NA YOKOHAMA, JAPAN

Mabingwa wa Ligi kuu England Man United leo huko Japan wamefungwa Bao 3-2 toka kwa Yokohama F-Marinos katika Mechi iliyochezwa Uwanja wa Kimataifa wa Yokohama. Bao za Yokohama F-Marinos zimefungwa dakika ya kwanza na chezaji Marquinhos bao la pili dakika ya 50 na Fabio, huku Fujita akimalizia bao dakika ya 88 dakika za lala salama. Kwa United waliofunga ni Lingard dakika ya 19 na bao la pili wamejifunga wao wenyewe kupitia mchezaji wao Tashiro katika dakika ya 31

Hiki ni kipigo cha pili kwa Man United katika Ziara yao huko Asia ambako walianza kwa kufungwa Bao 1-0 huko Bangkok, Thailand na Singha All-Stars Wiki iliyopita kisha Jumamosi iliyopita wakashinda Bao 5-1 huko Sydney, Australia walipoichapa A-League All Stars.Mechi inayofuata kwa Man United ni Ijumaa Julai 26 huko Osaka watakapocheza na Cerezo Osaka, Klabu ambayo Mchezaji wa Man United Shinji Kagawa alikoanzia Soka.Robin Van Persie akichota mpira kutoka kwa mchezaji wa Yokohama leo mchana wakati Manchester United ikicheza na Yokohama F Marinos huko Japan kwenye uwanja wa Taifa. Manchester United imefungwa bao 3-2Kwenye patashika za hapa na pale
Threading it through: Shinji Kagawa looked ecstatic to be playing for United in his home country
Shinji Kagawa akionesha kiwango kwenye nchi yao Japan huku Mashabiki wakimkubali zaidi wakati anacheza uwanjani leo hii wengi wa mashabiki walikuwa wanashangilia wakati Kagawa anaingia kipindi cha pili.Eager to impress: Wilfried Zaha was in decent form as he tried to beat his man every time he received the ballWilfried Zaha akijaribu ..kama kawaida yake!!

Danny Welbeckna manjonjo yake hapa!Mashabiki mayoso wa United wakitoa mchango wao
Top dog: Japan star Kagawa is an extremely popular figure in his country
Kule Japan star Kagawaanasifika sana ..angalia mashabiki wanavyomuunga mkono!!
Top dog: Japan star Kagawa is an extremely popular figure in his country
Japan kwenye soka sauti zao ni Kagawa tu!!
VIKOSI:
YOKOHAMA 3 vs MAN UNITED 2
MANCHESTER UNITED: De Gea; Fabio, Jones, Evans (Smalling), Evra; Anderson, Cleverley, Zaha (Giggs); Lingard (Ashley Young), Januzaj (Kagawa); Van Persie (Welbeck)
Goals: Lingard 19, Tashiro (OG) 31

Booking: Cleverley
YOKOHAMA: Enomoto, Dutra, Aguiar, Tashiro, Kobayahsi, Nakamura, Hyodo, Tomisawa, Nakamachi, Marquinhos, Sato.
Goals: Marquinhos 1, Fabio 50, Fujita 88

No comments:

Post a Comment