Baada ya kunusurika katika mikono mikali ya sheria
nchini Japan, Msanii wa muziki Iryn Namubiru hatimaye kwa njia ya mtandao
amesema na mashabiki na watu wote ambao wamekuwa nyuma yake wakati wa tatizo
lililompata ambapo ametoa shukrani kwa sapoti na pia kukanusha kuongea na chombo
chochote cha habari juu ya ishu hii nzima. Kufuatia taarifa mbalimbali kuendelea
kusemwa kuhusiana na tukio hili, Iryn amesema kuwa atatoa maelezo kamili wakati
ukifika, na kidogo alichosema kuhusiana na hili ni kuwa, katika tukio hili
hakufunguliwa mashtaka rasmi na hakufikishwa mbele ya Jaji.
Ujumbe wa Iran upo Pakistan kwa mazungumzo
-
Hata hivyo, msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya Iran amesema hakuna
mipango ya mazungumzo ya ana kwa ana kati ya pande hizo mbili, akibainisha
kuwa ujumbe...
KUMBUKIZI YA DARAJA LA NYERERE 2016-2026
-
Daraja la Nyerere lililozinduliwa na aliye kuwa Rais wa Tanzania John
Pombe Magufuli Aprili 19, 2016. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Picha za Viongozi mba...
WASIRA AWATOLEA UVIVU WALIOANZA MBIO ZA URAIS
-
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Tanzania Bara, Stephen
Wasira, Leo Machi 27, 2026, Mjini Bunda Mkoa wa Mara alipokuwa akiweka
jiwe la ms...
Post a Comment