Baada ya kunusurika katika mikono mikali ya sheria
nchini Japan, Msanii wa muziki Iryn Namubiru hatimaye kwa njia ya mtandao
amesema na mashabiki na watu wote ambao wamekuwa nyuma yake wakati wa tatizo
lililompata ambapo ametoa shukrani kwa sapoti na pia kukanusha kuongea na chombo
chochote cha habari juu ya ishu hii nzima. Kufuatia taarifa mbalimbali kuendelea
kusemwa kuhusiana na tukio hili, Iryn amesema kuwa atatoa maelezo kamili wakati
ukifika, na kidogo alichosema kuhusiana na hili ni kuwa, katika tukio hili
hakufunguliwa mashtaka rasmi na hakufikishwa mbele ya Jaji.
RAS TANGA AHAKIKISHA UTAYARI WA WIKI YA FEDHA
-
*Na Chedaiwe Msuya na Eva Ngowi, WF, Tanga*
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga (RAS), Bw. Rashid Mchatta, amewahakikishia
wadau wa sekta ya fedha kuwa maadh...
MOROCCO YAITOA NIGERIA KWA MATUTA, BONO SHUJAA
-
WENYEJI, Morocco wamefanikiwa kwenda Fainali Kombe la Mataifa ya Afrika
baada ya ushindi wa penalti 4-2 dhidi ya Nigeria kufuatia sare ya bila
mabao ndan...
Dkt Nchimbi akutana na Balozi wa Japan nchini
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi, amekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa Japan nchini Tanzania
M...
ZIARA YA KIKAZI YA KIHONGOSI KUANZA MKOA WA SINGIDA
-
Baada ya kumaliza kunadi ilani yetu ya uchaguzi ya CCM (2025/30) nchi
nzima, Sasa kazi ni moja tuu kupita katika kukagua miradi ya maendeleo na
kusikiliza ...
Post a Comment