Mwisho wa Celtic ulikuwa jana usiku baada ya kupata kichapo cha goli 2-0 na Agg 5-0 kwenye UEFA
Mashabiki wa Celtic wakishangilia timu yao pamoja na kushindwa kujitetea kuwafunga Juve
Celtic wakifungwa jumla ya goli 5-0 na Juventus na kushindwa kusonga mbele
VIKOSI:
Juventus: Buffon, Barzagli, Marrone, Bonucci, Padoin, Vidal (Isla 67), Pirlo (Giaccherini 69), Pogba,Peluso (Asamoah 59), Quagliarella, Matri. Subs not used: Storari, Chiellini, Vucinic, Giovinco.
Booked: Peluso.
Goals: Matri 24, Quagliarella 65.
Celtic: Forster, Matthews (Forrest 52), Wilson, Kayal, Izaguirre, Commons (Nouioui 73), Wanyama (Ambrose 46),Ledley, Mulgrew,
Samaras, Hooper. Subs not used: Zaluska, Miku, Stokes, McGeouch.
Booked: Izaguirre.
Attendance: 35,000.
Referee: Firat Aydinus (Turkey
No comments:
Post a Comment