Blogroll

KWA MAWASILIANO ZAIDI TUWASILIANO KUPITIA BARUA PEPE pallangyorachel@yahoo.com AU NIPIGIE KUPITIA NAMBARI 0715187511

Pages

Wednesday, December 19, 2012

NMB YAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO KWA MEYA WA KINONDONI

 Baadhi ya vifaa vilivyokabidhiwa kwa akijili ya masdhindano ya Mayor Cup
 Sehemu ya vifaa vya michezo vilivyokabidhiwa na NMB
 Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NMB, Imani Kajula akizungumza katika hafla ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Meya wa Kinondoni, Yusuf Mwenda (katikati) kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Meya wa Manispaa ya Kinondoni. Kushoto ni Naibu Meya, Songoro Mnyonge. 
 Meya wa Kinondoni, Yusuf Mwenda akizungumza katika hafla hiyo. Kulia ni Mkuu wa Masoko na Mawasiliano NMB, Imani Kajula.
 Mkuu wa Masoko na Mawasiliano NMB, Imani Kajula akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya sh milioni 10 kwa Meya wa Kinondoni, Yusuf Mwenda.

Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuf Mwenda (katikati) akipokea kombe kutoka kwa Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya NMB, Imani Kajula ambalo ni sehemu ya zawadi alizokabidhiwa jijini Dar es Salaam jana kwa ajili ya mashindano ya Kombe la Meya wa Manispaa ya Kinondoni. Kushoto ni Naibu Meya, Songoro Mnyong

No comments:

Post a Comment